Shem bizeeee..
Wateja wa kumwaga Serengeti Grill
Da Mariam mzigoni..Kazi kwenu akina Dada wengine wa Kibongo tusibwetekeee jamani muigine Da mariam na nyinyi mjikomboe sio kupika majungu kila siku yasiyo na maana na faida yeyote katika maisha yenu..WANAWAKE NA MAENDELEO NA SI NA MAJUNGU NA VIGENGE..
Posted by Da Mariam,
Published by USWAZI blog.



No comments:
Post a Comment