Ndani ya Nagoya
CEO wa YUNE International Director Gongori mwenye jezi ya Tanzania
Shereheni
Meza kuu ikipata huduma
Akina Dada Busy
Katibu mkuu wa CCM tawi la Nagoya bwana Martin Nguku akitoa shavu
Mambo ya kutoa shavu
Mdau akicheki feedback ya picha alizopiga
Ndugu Wanatija , Kwa niaba ya Mwenyekiti wa CCM tawi la Nagoya Mhe,Tostao. Ninachukua nafasi hii kwa kuwashukru watu wote waliohudhulia hafla fupi ya kuadhimisha miaka 50 ya uhuru wa Tanzania Bara, Kwani ilipendeza sana na hii inasaidia kujenga mshikamano na umoja kati ya watanzania na mataifa mengine, kwani walikuepo Wajapan, Myanma, Uganda na mchina pia , Hafla hii ilifanyika ndani ya Jiji la Nagoya katika kitongoji cha kanie. Huu ni mwanzo tu kufanya mkusanyiko wa watanzania waishio Nagoya city na vitongoji vyake, Hivyo tunaomba ushirikiano zaidi na zaidi. Mungu ibariki Tanzania . Asanteni
Wenu katibu CCM tawi la Nagoya Martin
No comments:
Post a Comment